Wednesday, May 25, 2016

Juliet ‘ajibebisha’ kwa Odochie

3747971_peteedochiejulietibrahim_jpeg7701ad56837a5d5ab37e59b33f218c9e
MREMBO kunako filamu Ghollywood, Juliet Ibrahim juzi kati alionekana akijibebisha ‘live’ na mkongwe wa filamu kutoka Nollywood, Pete Odochie.
IMG_1627Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Juliet alitupia picha akiwa na mkongwe huyo kisha akaandika; “Mwanaume ninayemkubali, naipenda sana hii picha.”
juliet-ibrahim-and-pete-edochie-599x428Kwa sasa Edochie anatembelea nchi mbalimbali kwa ajili ya kukutana na mastaa wa filamu.

Tupe Maoni Yako Kuhusu Habari Hii

 

GOSSIPS Copyright © 2016 -- Template created by Mbatta