Showing posts with label AJIRA. Show all posts
Showing posts with label AJIRA. Show all posts

Wednesday, October 5, 2016

Biashara Unazoweza Kuanza Kwa Mtaji Wa Tsh Laki Mbili Na Kuweza Kufanikiwa.


Kabla sijamshauri msomaji mwenzetu kuhusu biashara gani afanye, kuna mambo muhimu nahitaji ayajue na kuyazingatia sana kwenye biashara yoyote atakayokwenda kufanya;

1. Kwa kuanza biashara na mtaji kidogo atahitaji kuweka juhudi kubwa sana kwenye uendeshaji wa biashara hiyo. 
Kadiri biashara inavyoanza kwa mtaji kidogo, ndivyo uendeshaji wake unavyokuwa mgumu na changamoto zinakuwa nyingi. Hivyo mtu unapoingia kwenye biashara kwa mtaji kidogo unatakiwa kujiandaa kiasi cha kutosha. Utahitajika kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja, kitu ambacho kitakuchosha sana.

Pia unatakiwa kuelewa kwamba kwa kuanza biashara na mtaji kidogo itakuchukua muda mrefu zaidi mpaka kufikia yale mafanikio ambayo umepanga kuyafikia kibiashara.
Ni muhimu kujiandaa kwa hili ili mambo yanapokuwa magumu usikate tamaa, badala yake ujue ndiyo kitu ulichotegemea kukutana na cho na hivyo kuongeza juhudi zaidi.

2. Biashara haijali umetokea wapi au umepitia magumu kiasi gani. 
Msomaji mwenzetu ametueleza changamoto alizopitia na maisha ya chini ambapo ametokea. Hii ni nzuri katika kuweka maelezo yako ya kuomba ushauri, lakini ni kitu cha kuweka mbali pale unapoanza biashara. Watu wengi wamekuwa wakifikiri kwamba kwa sababu wamepitia maisha magumu basi biashara inapaswa kuwa rahisi kwao. Unachotakiwa kujua ni kwamba biashara haijali umetokea wapi au umepitia mambo magumu kiasi gani.

Biashara itakuja na changamoto zake kama ilivyo kwa watu wengine. Hivyo unahitaji kuweka hadithi yako ngumu pembeni na kujiandaa kupambana na biashara. Usiingie kwenye biashara ukiwa mnyonge, ingia ukiwa unajiamini ya kwamba unaweza kufanya makubwa na hupo tayari kukata tamaa hata kama mambo yatakuwa magumu kiasi gani.

3. Huna uhuru mkubwa wa kuchagua. 
Unapoanza biashara kwa mtaji kidogo, huna uhuru mkubwa wa kuchagua ni biashara ya aina gani unataka kufanya, badala yake unahitaji kuingia kwenye biashara yoyote ambayo inaweza kukuletea faida mapema. Ukishapata biashara ya aina hii unaweka juhudi zako na biashara inapokua ndipo unaanza kuwa na uhuru wa kuingia kwenye zile biashara ambazo unazipenda.

Biashara unazoweza kuanza na mtaji kidogo wa tsh laki mbili. 
Kwa msingi huo ambao tumeujenga hapo juu sasa tuangalie biashara ambazo msomaji mwenzetu anaweza kuzianza na mtaji kidogo wa laki mbili. Kuna biashara nyingi ndogo ndogo hasa kwa maeneo ya mjini kama dar es salaam ambazo mtu anaweza kuanza kwa mtaji usiozidi laki mbili. Unaweza kuangalia kwenye eneo ulilopo watu wana changamoto gani au mahitaji gani ambayo ni makubwa na kuweza kuwasaidia watu kuyatimiza.

Zifuatazo ni baadhi ya biashara ambazo mtu anaweza kuanza kwa mtaji kidogo kwa dar es salaam. 

1. Kuuza nguo kwa kutembeza mitaani.
Hii ni biashara ambayo unaweza kuianza kwa mtaji kidogo. Kwa biashara hii unahitaji kwenda kwenye masoko makubwa ya nguo au viatu, iwe ni mtumba au ‘special’ chagua nguo nzuri na kisha kuzunguka mitaani kuuza nguo hizo. Kadiri unavyopata nguo nzuri na jinsi unavyoweza kuwa na kauli nzuri ndivyo unavyoweza kufanya mauzo makubwa. unahitaji kuweza kuongea vizuri na watu, na kuwa na ushawishi kwa nini mtu anunue. Nguo za wanawake na watoto zina wateja wengi zaidi ukilinganisha na za wanaume.

2. Kuuza genge au matunda. 
Biashara nyingine ambayo mtu anaweza kuianza kwa mtaji kidogo ni kufungua genge la mahitaji ya msingi ya nyumbani kama mboga mboga au kuuza matunda. Haya ni mahitaji ya msingi sana ambayo bado wengi hawayapati vizuri. Kama ukiweza kupata bidhaa zilizo bora na kuwauzia watu kwa bei nzuri wanayoweza kumudu, unaweza kutengeneza biashara nzuri. Na kama kwa fedha kidogo uliyonayo haikutoshi kukodi eneo la kuuzia unaweza kuja na mbinu mpya ya kuuza kwa mfano kuwa na mkokoteni mdogo ambao unazunguka nao mtaa kwa mtaa kuuza bidhaa zako.

3. Kutoa huduma za maji safi kwa maeneo ambayo maji bado ni tatizo. 
Kuna maeneo mengi ya dar es salaam ambapo watu bado hawapati maji masafi. Au maji hayo yanapatikana mbali na hivyo wengi kushindwa kuyapata, unaweza kutumia fursa hii kuwasambazia watu maji masafi. Unahitaji kuwa na mkokoteni na madumu yako ya maji, kujua eneo ambapo utapata maji safi na kuweza kuwasambazia wateja wako.

4. Kubeba takataka kutoka kwenye makazi ya watu. 
Licha ya kuwepo kwa mifumo ya uzoaji taka kama magari na majalala makubwa, bado watu wengi hawafikiwi au hawatumii mifumo hii. Hivyo hapa kuna fursa ambapo mtu unaweza kuingia na kufanya biashara. Unahitaji kuwa na mkokoteni ambao unaweza kubeba taka na unahitaji kujua sehemu ya kwenda kuzimwaga. Hapa unaweza kupita kwenye mitaa, nyumba kwa nyumba na kuwapatia huduma ya kuzoa taka zao kwa bei ambayo wanaweza kuimudu.

Hizo ni baadhi ya biashara unazoweza kuanza kuzifikiria na hata kuzifanya. Unaweza kuchagua moja na kuiboresha zaidi kulingana na mazingira uliyopo. Au unaweza kufikiria biashara nyingine kwa mazingira ambayo upo. Kikubwa usianze kuchagua na kuona kuna biashara inayokufaa au ipi haikufai, unapoanza biashara kwa mtaji mdogo huna nafasi kubwa ya kuchagua.

Saturday, July 9, 2016

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya July 10



Sunday, May 22, 2016

VIDEO:TAFADHALI PICHA ZINATISHA KAMA HUNA ROHO NGUMU.. TAZAMA NYOKA ALICHOFANYA

Friday, April 22, 2016

PLAY


Friday, April 15, 2016

CHECK THIS VIDEO AFTER TRAGEDY YALIOMKUTA desired her to raise the hips , TRAGEDY , scary


Monday, April 11, 2016

PLAY


Sunday, April 10, 2016

Witnessed here WEDDINGS PHOTOS OF ARTIST AND HIS WIFE Roman Catholics WALIVYOPENDEZA

Wednesday, April 6, 2016

WATCH THIS VIDEO IN THESE filial AKIKATA UNO WATER MUST BOLO LIDINDE Patriarch


Monday, April 4, 2016

YOU told me to watch this video ARTIST THIS IS WHAT THE BONGO MOVIE ? KUNA ATAKAYEPATIA GIFT


Thursday, March 31, 2016

Wednesday, March 30, 2016

play this


Sunday, March 27, 2016

PLAY


Monday, March 21, 2016

play video


Thursday, March 17, 2016

Seeing TEARS YOU SHOULD MAKE THIS VIDEO


Saturday, March 12, 2016

HOW beads ZINAVYONOGESHA CLICK SIGN OF PLAY WILL SEE VIDEO


Thursday, February 25, 2016

SEE VIDEO OF THIS girlfriend AKIJIDAI be masculine brain okra HAVE Failed KUMKUNA


Wednesday, February 17, 2016

Friday, February 5, 2016

Nape Nauye Aanika Secrets Of Success CCM Continuous Keep Empire


Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) has continued to keep the dollar despite strong opposition from other political parties and particularly the forming of the Constitution of the Citizens Union ( It was restored ) .


39th anniversary of his birth , yanaandika other party's history since its inception February 5, 1977 .
Under Mwalimu Julius Nyerere party which is the second largest in Africa internment and commenced the ANC of South Africa , boasts many things yaliyokifanya lasting until the moment when the elderly associations in other countries like Zambia ( UNIP ) , Kenya ( Kanu ) and Malawi labels vimeshaondolewa power.
Nape mentions the secret of success
Secretary of NEC , Ideology and Publicity Secretary of the CCM , Nape Nnauye says party system that takes hold virtual starting level of the trunk for the ambassador of ten houses until the nation has done should still be the refuge of many citizens up to get members more than six million , from members few who were there last year .



"Our party has continued to have a national character, which has been known calendar options allowing every five years to make Tanzania a country adheres to the principles of democracy," he said.

There are some things that the party boasts 39 years since the birth.
Keeping dollar
"We got the victory have helped keep the dollar in the general elections that took place more than six times. We have lived on the strengthening of our party that seeks to remain in power, and to create and manage the government, "he said.
Member of the National Executive Committee, Patrick Myovela says the party's achievements include victories in the various elections zilizowawezesha continue to keep the dollar.
Nape says CCM has always elects presidential candidate who can keep the flag of the party more seriously considering the wishes of the citizens at the relevant time.Rotating leadership
Myovela who is a lecturer at the University of Dar es Salaam says, CCM still believed by many Tanzanians is why they have continued giving the vote to enable it to form a government. That is thanks to the trust of the citizens on the party.

Among the things that vimeiletea great features include Tanzania have rotating leadership responsibilities.

While other countries, including Uganda, Burundi and Zimbabwe zikivurugana from the governing parties fail to honor the concept of rotating, Tanzania already has passed through five phases and each phase of the administration led by a different president.

"After 23 years of leading, Mwalimu Nyerere decided to abdicate releases a Phase II president, Ali Hassan Mwinyi, who went to vote in spite of the presence of the one-party system," says Nape.

He says that the country's leadership made him the rotating President of the Third Phase Benjamin Mkapa to hold the steering wheel was received Mwinyi until 2005 he pomkabidhi President of the Fourth Jakaya Kikwete and President John Magufuli last year.

Myovela says it's definitely a better reflection of the country's leadership stems from the strength of the party in power exists.

Multiparty democracy
Despite the existence of democratic change, particularly multiparty system and CCM itself founded in 1992, the party has continued to flourish while winning all the major options and local.

Nape says when CCM decided to establish such a system, many people were eager to go forward alone.

"Remember that during the referendum to maintain a one-party system or have multiparty politics, many Tanzanians were suggested continuation of the same party, but from democracy, CCM decided to allow a multiparty system started in the country," he said .Until now Tanzania has the political parties over 20 registered, many labels have managed to participate in various options.

Lecturer of the University of Iringa, Enock Ugulumu who is a member of the Executive Committee says Iringa Region would continue to be like every other candidate enters the office, point of presence until today would not exist.

"A system of exchange leadership is the great secret of the victory of the CCM, we ng'ang'anii power because the Constitution has allowed democracy from within CCM, far out in public.

"Otherwise the Chairman of the National Executive would want from all these years, would remain the same," he said.

There are parties that have failed to comply with the power sharing system to have the same leaders since its inception.

 New Constitution
The process of acquisition of new Constitution shows how the CCM succeeded to receive and act on the advice and recommendations given to citizens from all walks.

Nape says CCM is proud to be the same process even if not delivered to the end. He says the presence of the last draft Constitutional Assembly keeps intimate listening CCM Tanzanians opinion and pointers whenever possible.

"It's a party there for long, boasts to be responsive to meeting the needs of the population." He would not accept the goodwill of the process exist, would be established to reach the stage when the current opinion polls.

Protecting and maintaining peace in
Nape says in mbazo national values ​​nurtured since independence CCM boasts that it is to protect and maintain peace.

Throughout the years, CCM has been Importing and managing to ensure the government protects and maintain the foundations of peace founded by the founders of the nation.

However, says CCM participated in the quest for the liberation of the neighboring countries to ensure security inside and outside the country

Independence, unity and solidarity.
Myovela says it is a fact that the unity and solidarity prevailing in the country is due to good management of the government formed by the party.

He says no discrimination of any kind, including religious, ethnic, or belt color comes from good foundations set by the party since its creation.

Nape says the act of election manifestos be touching the lives of people of all walks, kimeisaidia Government to fulfill its obligations.

"Every election year, CCM has been ikiisimamia Government in fulfilling its obligations through election manifesto. If you read all notices will discover the ikurupuki CCM, it makes things very seriously. This we take pride in, "says Nape.He says the foundation of good governance should be more applicable to what members would like its citizens to be done to send it out through his manifesto Government .

He says government officials have been informed of their execution of duties by members in the open position of criticism and move forward .

good governance
Nape says Tanzanians have witnessed the establishment of provinces, districts , counties and villages to kuwasogezea new services around .

resolutions
He says there are different resolutions likiwamo Declaration Mtowisa set to every household food security and Zanzibar Declaration lililofungua democracy within the party , all these have contributed to the success of the CCM.
 

GOSSIPS Copyright © 2016 -- Template created by Mbatta