Siku za karibuni kulikuepo na tetesi kua kuna ugomvi mkubwa kati ya Wema Sepetu na Petit huku chanzo kikiwa hakijulikani. Ikafikia hadi Mirror, msanii aliekua chini ya Petit Man kutangaza kua kwa sasa Petit si meneja wake tena na kwa sasa Mirror yupo Benet sana na Wema.
Baada ya mashabiki kumuuliza Wema kuhusu ishu ya Petit Wema alikua mkali na kuongea maneno mengi ambayo ukiyasikiliza utagundua kua wawili hawa sasa hawapikiki chungu kimoja. Mtizame Wema akifunguka hapa chini....
Tupe Maoni Yako Kuhusu Habari Hii