Thursday, May 19, 2016

Picha 7: Basi la Haraka Dar limeua mmoja leo May 19 2016

Majira ya Mchana leo imetokea ajali katika eneo la Shekilango Jijini Dar es salaam, baada ya mwendesha bodaboda akiwa na abiria wawili kwenye pikipiki moja akijaribu kulipita gari lililokuwa mbele yake lakini pikipiki ikamshinda na kuanguka, pikipiki hiyo iliyokuwa imebeba Mama na mwanae.
ajali
20160519_150235
Bodaboda iliyombeba mtoto aliyekanyagwa
20160519_151845
ajali 2
ajali 5
Mahali alipokanyagiwa
Mtoto alianguka upande wa barabara za mabasi yaendayo haraka na kusababisha kifo cha chake .
U

Tupe Maoni Yako Kuhusu Habari Hii

 

GOSSIPS Copyright © 2016 -- Template created by Mbatta