Tuesday, May 10, 2016

Ommy Dimpoz anatamani angekuwa na uhusiano na Ma Miss Tanzania hawa!

Ommy Dimpoz hapendi kuwa na uhusiano na staa mwenzie kwasababu anaamini kuwa hatokuwa huru. Hata hivyo amewataja Mamiss Tanzania wawili ambao anasema kama wangekuwa sio mastaa basi lazima angetupa karata zake.
13118112_615300868638474_172335028_n
“Unakuwa hauna privacy,” ameiambia 255 kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM.
“Sometime unaishi sio maisha yako, unataka uishi kwa kuwaridhisha mashabiki wa girlfriend wako kwasababu ukifanya hivi watatukana, hawajui labda na wewe uliumizwa sehemu gani, kwahiyo. Sometimes inakuwa sio feelings zako, ni feelings za mashabiki wa girlfriend wako, sasa hiyo inakuwa haijakaa vizuri,” ameongeza.
“Staa ambaye asingekuwa staa ningetamani kudate naye labda Wema, wengine siwezi kuwataja ni wake za watu. Kuna mwingine siwezi kumtaja sababu ameolewa, ni staa alikuwa Miss.”

13151273_222790878112142_1735821979_n
Kwa sasa Ommy anadaiwa kuwa na uhusiano na mrembo huyo juu.

Tupe Maoni Yako Kuhusu Habari Hii

 

GOSSIPS Copyright © 2016 -- Template created by Mbatta