Showing posts with label MAPENZI. Show all posts
Showing posts with label MAPENZI. Show all posts

Tuesday, October 25, 2016

Vyakula Vinavyoongeza Hamu na Nguvu ya Kufanya Tendo la Ndoa


Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili. Aidha wanaume 6 kati ya 10 wanatajwa kulalamikia upungufu wa nguvu za kiume.

Pamoja na matatizo mengine kutajwa kuchangia upungufu wa nguvu za kiume na kushuka kwa msisimko wa tendo miongoni mwa wanandoa, uchunguzi umeonesha kuwa utumiaji holela wa vyakula hasa vyenye mafuta ni moja kati ya sababu zinazochangia kwa kasi tatizo hili.

Kwa kuzingatia hilo, watafiti wa masuala ya uhusiano wa kimapenzi wamebaini aina mbalimbali ya vyakula ambavyo vina uwezo wa kumuongezea mtu nguvu ya kufanya tendo la ndoa.  Vyakula hivyo ni hivi vifuatavyo:

1. PILIPILI
Kama tunavyojua wote mara nyingi chakula ambacho kimeungwa pilipili hufanya hata mapigo ya moyo kuwa tofauti na wakati mwingine hata jasho au kamasi hutoka. Ndani ya pilipili kuna kitu kinaitwa capsaicin ambacho hufanya pilipili iwe na hali ya ukali. Capsaicin huwezesha ubongo kutoa homoni ya endorphins ambayo huleta mgusu wa hisia za raha wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Pia pilipili husisimua mfumo wa fahamu (nerves) wa ubongo na katika kufanya hivyo huwezesha kuamshwa haraka kimapenzi (kunyegeka) wakati wa tendo la ndoa na pia ukiguswa au kubusiwa au kunyonywa au kupapaswa unapata hisia kila sehemu ya mwili.

2. MATUNDA NA MBOGA ZA MAJANI
Ulaji wa matunda na mboga za majani una matokeo makubwa sana katika hamu ya tendo la ndoa kwa njia nyingi. Kwanza matunda na mboga za majani hupunguza kiwango cha mafuta na unene (cholesterol).  Kuongezeka kwa mafuta mwilini huzuia mzunguko wa damu kwa kubana mishipa ya damu.

Pia kula matunda na mboga za majani huhakikisha balance ya uzito kwani unene (obesity) kwa wanaume kuna matokeo mabaya katika kuzalisha homeni za testoeterone na hatimaye jogoo kushindwa kuwika na kuwa na pia mwanaume anakuwa na hisia za mapenzi (libido) kidogo.
Na pia wanandoa wanapozidi kunenepeana ndipo na hali ya kufurahia au kuwa na hamu ya tendo la ndoa huzidi kupungua. Kitalaam inashauriwa kula milo (potions) 3-5 za matunda kwa siku.

3. NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
Nafaka hasa zisizokobolewa kama mahindi, ngano, uwele, nk zina nyuzinyuzi (fibre) na sukari ngumu (complex sugar) ambazo kusaidia kutunza uzito wa mwili. Nafaka husaidia katika kuzalisha homoni za testosterone kwenye damu. Na pia nafaka huwezesha mtu kuwa na nguvu hatimaye kwenda masafa marefu wakati wa tendo.

Kula nafaka nzima kama vile brown bread badala ya white bread, pia kula nafaka halisi badala ya cornflakes ni jambo zuri linalokuhakikisha afya nejama na mahusiano mazuri ya ndoa yako.

4. TANGAWIZI
Tangawizi ni kiungo cha mboga ambacho husisimua sana na kusaidia mfumo wa mzunguko wa damu mwilini. Tangawizi zinajulikana sana kwa kusukuma damu kwenda sehemu za viungo vya uzazi yaani uke na uume hivyo kuwa na umuhimu sana katika kuboresha ufanyaji wa tendo la ndoa. Inaweza kuliwa mbichi, au kuliwa ikiwa imeungwa kwenye chakula au kusagwa na kuwa kama unga na kutumiwa kama chai.

5. ASALI
Asali ina madini yanayoitwa boron, ambayo husaidia mwili kutumia homoni ya estrogen ambayo ni homoni inayohusika na viungo ya uzazi na mapenzi kwa mwanamke.
Pia kuna utafiti unaoonesha kwamba asali huongeza nguvu, kitendo ambacho kitapelekea mwanamke kuwa uwezo na hamu ya tendo la ndoa au libido.

6. KARANGA
Karanga huhusika katika kuchochea mfumo wa mzunguko wa damu (vascular system). Mzunguko wa damu ulio sawasawa katika uke na uume huwezesha mwanaume na mwanamke kupata msisimko wa mapenzi haraka hatimaye tendo la ndoa kuwa murua. Pia karanga zina madini muhimu kama vile magnesium, asidi ya folic na zinc ambayo ni muhimu sana katika usalishaji wa mbegu za mwanaume.

7. CHAZA (OYSTERS) NA PWEZA
Hawa ni aina ya samaki ambao hupatikana katika maji chumvi. Huwa na kiasi kikubwa sana cha madini ya zinc na haya madini ndiyo huhusika zaidi na uzalishaji wa homoni ya testosterone kwa wanaume.
Pia imethibitika kwamba wanaume wenye ukosefu wa madini ya zinc huwa na matatizo ya nguvu za kiume.  Pia madini mengi ya zinc mwilini huongeza kiwango cha shahawa kwa wanaume.

8. SOYA
Pamoja na kuwa na kiwango kidogo sana cha mafuta (fat) na pia kuwa na kiwango kizuri cha protein, soya zina phytoestrogens ambayo husaidia sana wanawake ambao wamefikia menopause kutengeneza homoni estrogen ya ziada.
Husaidia uke kuwa laini (wet, lubricated) mwanamke akisisimuliwa wakati wa tendo la ndoa.

9. CHOKOLETI
Chocolate ina phenylethylamine, kemikali ambayo husababisha hisia (feelings) za furaha wakati wa mwanamke au mwanaume kufika kileleni (orgasm). Inasaidia sana kula chocolate masaa machache kabla ya kuanza kufanya tendo la ndoa.

10. PARACHICHI
Aina nyingine ya chakula ambacho husaidia kuongeza uwezo wa mtu kufanya tendo la ndoa ni Parachichi. Tunda hili linauwezo mkubwa wa kuzalisha vitamini E ambayo husaidia katika uzalishaji wa homoni. Inatajwa kuwa watu wanaotumia tunda hili kwa wingi huwana msisimko mkali wa kimapenzi na kwa upande wa wanawake husaidia kuongeza majimaji yenye utelezi sehemu za siri na hivyo kuzuia uwezekano wa kuchubuka wakati wa kujamiiana.

Thursday, October 13, 2016

MAPENZI::SEHEMU 2O ZA MWANAUME AMBAZO WASICHANA WANAZIPENDA SANA.SOMA HAPA KIJANA NIKUJUZE.

Kutoka katika misuli ya mwili,kifua,unavyocheka hakili yako au kwa maana nyingine kujitambua,wasichana wanaelezea mambo ambayo wanapenda sana kutoka katika mwili wa mwanamme.


Kama ukimuangalia msichana machoni unapokuwa mtaani kwako,au kama mmetoka na msichana wako kwenda kwenye matembezi ya kimapenzi(out),au ukiwa umekaa na msichana au mpenzi ambaye mmeoana kwa muda mrefu,najua umekuwa ukijiuliza kwa muda mrefu sana kwamba mpenzi wako amekupendea nini na umemvutia kwa kitu gani kimuonekano mpaka akakubali kuwa mpenzi wako? Kutoka kwenye mwili wako mzima mpaka ndani ya suruali yako umekuwa ukijiuliza ni sehemu zipi wasichana hata kabla ya kuwa mpenzi wako huwa anapenda sehemu zipi? sehemu gani ambayo mwanamke au msichana wako huwa anachanganyikiwa sana mnapokuwa uso kwa uso,kifua kwa kifua au mkiwa kwenye mashuka? Haya ni maswali ambayo wanaume na wakaka wengi huwa wanajiuliza sana linapokuja swala la kumpenda msichana.
SOMA PIA::[MAPENZI]HAYA NDIYO MAMBO 1O UYAFANYAYO KILA SIKU YANAYOKUPUNGUZIA NGUVU ZA KIUME,NAMBA 2 LIMEZOELEKA SANA Tuliwauliza wasichana 25 kutoka katika historia tofauti ya maisha yao,sehemu walipozaliwa,na tofauti ya mitindo ya maisha yao kuelezea ni sehemu gani ambazo wasichana wanapenda sana kutoka kwa mwanaume.

SOMA PIA::[MAPENZI]::NAOMBENI MSAADA JAMANI MUME WANGU HAWEZI KUPATA USINGIZI BILA KUNYONYA SEHEMU ZANGU,NIFANYEJE. Kwa mujibu wa mwanamke au msichana  yeyote yule sehemu inayomvutia sana kwake inaweza kutokana na sehemu mbili ambazo ni moja ni;kuzaliwa na ya pili ni ile ambayo inatokana na mazoezi kama "Gym nk".Ndio unaweza ukashangaa lakini ndio hivyo wasichana walitupa maoni yao kulingana na kile wanachokipenda kutoka katika mwili wa mwanaume.

SOMA PIA::[MAPENZI KWA WASICHANA TU]::HIZI NDIZO SEHEMU 1O KATIKA MWILI WA MSICHANA ZINAZO PENDWA SANA NA WAKAKA.

MSICHANA 1:
" Ninapenda sana muonekano wa TUMBO la mkaka hasa linapokuwa "FLAT " na sio kitambi"-Pilietta

MSICHANA  2:
"Ninapenda mwili wote wa mwanaume,lakini ukiniambia nichague sehemu ninayoipenda zaidi ni mi ninapenda MIKONO ILIYOJAA VIZURI na inapokuwa mizuri basi mimi nasikia raha"-Christina

MSICHANA WA 3:
"Mimi ninapenda mwanaume ALIYEJAA MIKONO vizuri,hasa hasa anapokuwa na mgongo mpana kwangu mimi nachanganyikiwa kabisa,huwa najihisi kuwa na amani na furaha sana ninapokuwa na mkaka mwenye mgongo mkubwa"-Sarah G

MSICNA WA 4:
"Mimi napenda mkaka mwenye VIGANJA VIKUBWA hali hii hunifanya nifikile kwamba mkaka huyu anaweza kufanya mambo vizuri kwa sababu ya kuwa na viganja imara na nguvu za kutosha."-Julia

MSICHANA WA 5:
"Mimi napenda mkaka mwenye TABASAMU ZURItabasamu huwa linanifanya moyo wangu unayeyuka kabisa kama barafu ndani ya maji ya moto"-Mariamu

MSICHANA WA 6:
"Mimi napenda mwanaume mwenye nguvu yaani aliyejaa mikono vizuri na mwenye mabega mapana na yaliyojaa vizuri,ili aweze kunibeba si unajua tena mambo ya mapenzi"-Lydia

MSICHANA WA 7:
"Mimi napenda mwanaume mwenye MACHO MAZURI macho mazuri hunifanya nichanganyikiwe kwa kumuangalia tu"-Anna

MSICHANA WA 8:
"Mimi napenda mwanaume mwenye MAKALIO MAKUBWA KIASI asiwe mwembamba sana,ninapenda makalio na sijui ni kwa nini nimejikuta ninapenda tu"-Sarah

MSICHANA WA 9:
"Mimi ninapenda wavulana wenye umbo la "V" katika matumbo yao na lazima mwanaume ninaye mpenda mimi awe ni mtu wa mazoezi"-Elizabeth

MSICHANA WA 10:
"Mimi napenda mkaka mwenye TABASAMU ZURI basi"-Recho

MSICHAN WA 11:
"Mimi ninapenda mwanaume mwenye Kifua kipana na kilicho jaa vizuri"-Fatumah

MSICHANA WA 12:
"Kwa upande wangu mimi ninapenda mwanaume mwenye mikono mikubwa ya kuweza kunibeba huku na kule kunapokuwa kwenye mambo yetu yale"-Mwajumah

MSICHANA WA 13:
"Mimi napenda mwanaume mwenye misuli imara sana na yenye nguvu kuanzia chini mpaka juu ila asikomae sana jamani"-Brigite

MSICHANA WA 14:
Msichana wa kumi na nne naye alisema kwamba anapenda sana wakaka wenye mikono mizuri

MSICHANA WA 15:
Msichana wa kumi na sita naye pia alisema kuwa anapenda wakaka wenye vifua vikubwa.

MSICHANA WA 16:
"Hahaha swali lahisi sana kwangu hilo,mimi napenda mkaka mwenye mikono mikubwa na iliyo jaa zuri na tumbo lililokaza vizuri".-Tunuh

MSICHANA WA 17:
"Mimi ninapenda sana wakaka wenye makalio makubwa kama vile wakaka wanavyopenda wasichana wenye makalio makubwa"-Vanessa.

MSICHANA WA 18:
"Mimi ninapenda wakaka wenye tabasamu zuri hasahasa anapokuwa na meno maeupee! yananivutia sana jamani"-Eliza J.B

MSICHANA WA 19:
"Mimi ninapenda sana mwanaume mrefu kwa sababu mimi ni msichana mrefu kidogo kwa hiyo huwa sipendi kumzidi urefu mpenzi wangu ndio maana napenda wakaka warefu"-Paulinah

MSICHANA WA 20:
"Mimi napenda mkaka awe na mwili msafi siangaliii kifua wala mikono wala nini,ila mimi napenda awe mtanashati"-Mwavua.

[VIDEO]BREAKING NEWS::KUNDI LA BOKO HARAMU LAWATOA WASICHANA 21 WA "CHIBOK"TAZAMA HAPA LIVE

Wasichana 21 waliokuwa wametekwa na kundi la Boko Haramu wameachiwa.

Kwa mujibu wa BBC wasichana wameachiwa mapema leo asubuhi siku ya tarehe 13 mwezi wa 10.

Zaidi ya wasichana 200 waliokuwa wametekwa na magaidi kutoka katika shule yao katika jimbo la Borno mwaka 2014,huku wengine wakiripotiwa kuwa wamesha fariki dunia.Waliobaki wamekuwa wakishikiliwa na Magaidi hayo.

SOMA PIA::BREAKING::ALICHOKIFANYA OBAMA BAADA YA KUGUNDUA KUWA MTOTO WAKE ANAVUTA BANGI,KITAKUSHANGAZA

Chanzo cha serikali kutoka BBC Afrika kinadai kwamba magaidi hayo wamekuwa wakiwatelekeza wasichana hao kwenye maeneo ya karibu na walipowatekea yaani Jimbo la Boro.Na wamekuwa wakichukuliwa na helikopta za jeshi la Naijeria.

Miongoni wa wamama wenye watoto waliotekwa wamemuomba Rais wa Nijeria awasaidie ili aweze kuwasaidia kuwarudisha watoto wao.
SOMA PIA::HII NDIYO TOP 15 YA MARAIS WANAOLIPWA PESA NYINGI KULIKO WOTE BARANI AFRIKA,TAZAMA HAPA KAMA TANZANIA IMO.
TAZAMA VIDEO HAPO CHINI LIVE KABISA NIMEKUWEKEA.


Gerba Shebu,mshauli mkuu wa Rais wa Naijeria Muhammadu Buhari kwenye mitandao ya kijamii na kwenye vyombo vya habari akisema leo kupitia kwenye simu alisema,bado hajapata taarifa Rasmi za kuachiliwa kwa wasichana hao 21.

"Bado sijapata taarifa zozote juu ya kuachiliwa kwa wasichana hao 21,bado najaribu kufuatilia taarifa hizo niweze kujihakikishia kabla ya kuwapa habari rasmi kabisa".

Kitendo cha kuwaachia wasichana hao kumekuja mara baada ya mwakilishi wa kundi hilo kukutana na mwakilishi wa Serikali ya Muhhamadu Buhari na kuomba kubadilishana kwa mateka wao huku Boko Haramu wakidai kurudishiwa kwa wapiganaji wao waliotekwa na serikali pia.

SOMA PIA::[VIDEO]HII KATUNI YA RAIS MAGUFULI NA GAVANA WA BENKI KUU YAZUA GUMZO KUBWA MTANDAONI,ITAZAME HAPA LIVE.
Bado haijafahamika mpaka sasa,ni wasichana gani wamekwisha kuachiwa na kama kweli wanajeshi wa Nijeria wamebadilishana mateka wa Boko Haramu kwa wasichana hao.

Tutaendelea kuwapa habari mara zitakapotujia mda wowote cha kufanya like page yetu ili usipitwe kila zinapotokea:Asanteni!

Wednesday, October 12, 2016

Hizi Ndio Sababu Zinazowafanya Wanaume Kufa Mapema Kabla ya Wanawake

Utakubaliana na mimi kwamba wanaume wengi walioko kwenye ndoa wanakufa mapema na kuwaacha wake zao, ingawa swali linabaki kuwa ni kwanini?

Zifuatazo ni sababu 6 za wanaume wengi walioko kwenye ndoa kufa mapema na kuwaacha wake zao.


1. Ugumu katika kufunguka.
Utakubaliana na mimi kwamba wanaume ni wagumu sana ten asana kufunguka na kushirikisha mambo yao, wao wako tayari wafe na tai shingoni wakijifanya hawaumii au hawasikii shida. Mkiwa na ishu kwenye ndo mkaitwa sehemu muyaongee yeye kamwe hamumpati, anakwambia
mambo yetu tutasuluhisha wenyewe wakati ndani yanamla na kummaliza.


2. Ugumu katika kusamehe.
Kusamehe sio tu kwa faida ya anayesamehewa bali pia kwa afya yaw ewe unayesamehe. Mzigo unaotokana na kusamehe hutuumiza sana mioyo yetu, hata kama mara nyingine tunajifanya hatuna shida yeyote.
Unaposamehe unaachilia mzigo mkubwa, wanaume wao ni wagumu sana kusamehe. Wako tayari wakubebe moyoni miaka, na tena watakukumbusha uchungu wao kila wanapokuona. Hii inawala sana bila wao kujua.

3. Tabia hatarishi.
Wanaume wengi kwenye ndoa ndio wanaoongoza kushiriki tabia hatarishi kama vile ulevi, anasa, ngono holela na hii huwaweka karibu zaidi na jeneza kuliko wake zao
waliowaacha nyumbani wakiwadanganya kuwa wako mkutanoni mkoani.

4. Ugumu katika kujali afya.
Ni rahisi sana mwanaume akajisikia vibaya lakini asiende hospitalini kuangalia afya, hata pale anapohimizwa kwenda bado anaweza kukwepa au kubisha au hata kusema kuwa ameshakwenda au ameshakunywa dawa kumbe mwongo.
Wako pia ambao wanaweza kupewa dawa na wasizitumie.

5. Msongo wa mawazo.
Wanaume ndio wabebaji wakubwa wa shehena za msongo wa mawazo “stress” ingawa kwa nje wanajitahidi sana kuonyesha kuwa mambo yako shwari wakati wanatafunwa ndani. Kaulize hospitalini, wanaokufa kwa presha ya kupanda au ya kushuka, stroke, kusimama kwa
moyo, kupasuka kwa mishipa ya damu, matatizo ya mifupa, au kuumwa sana kichwa, halafu uliza ni jinsia gani.

Kuwa open, roho safi and less agressive

Monday, October 10, 2016

Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Apagawe Kwako

Kuna vitu vingi ambavyo unaweza kutumia kwa manufaa yako ili kufanya wanawake wakuone unavutia. Amini usiamini, hivi vitu si lazima uwe tajiri wala uwe na urembo wowote. Mwanzo kati ya vitu hivyo vingi ni rahisi kuvitumia kwa urahisi. Hii hapa ni orodha ya mambo ambayo ukiyazingatia yatakufanya wewe uwe na mnato kwa mwanamke yeyote yule.

1. Uwezo wako wa nishati
Nishati inaweza kuwa na mkusanyiko wa vitu kadhaa, kama vile kuhisi kwa vipepeo ndani ya tumbo, kusuka, wasiwasi ama vitu tofauti kabisa. Kwa mtizamo wa moja kwa moja, nishati inahusiana na yote yale ambayo yanamfanya mwanamke kujiskia raha wakati anapokuona ama kutaka kuutumia muda wake mwingi akiwa na wewe. Nishati inacheza nafasi kubwa katika mapenzi kama wataka kumtongoza mwanamke na ufaulu kwa urahisi. Ili kupeana nishati zaidi kila wakati unapokuwa na mwanamke, hakikisha kile kikuu unachohitaji kufanya ni kumchekesha, kumsapraiz, umguse kwa bahati mbaya mara kwa mara, kuwa mwenye michezo nk. Zote hizo zitamfanya kukufikiria wewe mara 24/7.

2. Mbinu utakayoitumia kumsifu
Kulingana na utafiti kutoka NBC unadai ya kwamba wanawake wengi hawajiskii huru kupewa ama kupokea sifa kutoka kwa wanaume. Lakini usikatwe na tamaa! Vile ambavyo utampongeza mwanamke inaweza kucheza pakubwa kufaulu kumpata mwanamke unayempendae baada ya muda. Afterall ukimsifu kitofauti tofauti anaweza kukubali ama kukuona kama wewe ni mzaha kwake. So kuhepa aibu kama hizi ndogo ndogo, unafaa umsifu mwanamke kwa jambo ambalo ni la kwake pekee, yaani kitu ambacho utamsifu nacho hakipatikani kwa mwingine. Mfano waweza kumakinika kwa kitu ambacho anafanya wakati flani na utumie ujuzi wako wa kiume kumsifia na jambo hilo. Mfano unaweza kumsifu kwa uwezo wake wa kuimba, kuchora, mtindo wake wa kutembea nk. [Soma: Mbinu ya kutongoza kwa wale wanaojifunza]

3. Upambo wako
Si lazima uwe mwanamume wa kuvutia ili umvutie mwanamke. Utafiti umebainisha kuwa wanawake hawavutiwi na urembo wa mwanamume, nywele zake wala ngozi yake. Mwanzo kuwa mrembo kama mwanamume kuna ubaya wake mwingi ikizingatiwa kuwa unaweza kuonekana kama pleya ambaye unapendwa na wanawake wengi.

Kile ambacho unachohitajika hapa ni uhakikishe kuwa uwe nadhifu kimwili na mavazi yako. Kufanya hivi kutakusaidia wewe kuonekana mtu timamu halikadhalika inakufanya wewe kuwa na confidence ya kapproach demu yeyote yule.

4. Ujuzi wako wa kutangamana
Lazima atleast uwe na ujuzi ambao utakusaidia wewe kuweza kutangamana na wengine. Kama mwanamume lazima uwe na ujuzi ambao utakusaidia wewe kutangamana na wengine kwa urahisi. Hii inamaanisha kuwa lazima uwe na ujuzi flani wa kuongea na wanawake ndipo utakapojua jinsi ya kumfanya apagawe na wewe.

5. Kiwango chako cha kujiamini
Kitu cha mwisho ambacho ni muhimu kwako kuwa nacho ni kujiamini. Kujiamini ni njia moja wapo ya lazima uwe nayo ili uweze kuiteka hisia ya mwanamke yeyote yule.[Soma: Njia za kuwa na confidence kama mwanaume]

KUMBUKA: Vitu vyote tulivyoeleza hapo juu havitakuwa na manufaa yeyote yale iwapo kama hutaweza kujiamini kama mwanamume. Hivyo ni lazima kwako kuhakikisha kuwa mwanzo unajijenga kwa kuwa na confidence. Hii ni kuanzia kujitambua wewe mwenyewe bila kujishuku, kuongea bila woga wowote wala kutoingiwa na wasiwasi wakati wowote ukiwa karibu na mwanamke.

Sunday, October 9, 2016

WANAUME Wenye Upara ni Hatari Kitandani...

A study in 1960 by Yale doctor, James Hamiliton inaonyesha kwamba kuna uhusiano mkubwa kati ya homoni za testosterone levels kwa mwanaume na upara!

Wanaume wenye kipara wana idadi ya juu ya homoni ya testosterone hivyo wako more musculine, thus kuzidisha their sex drive.

Kuwa au kutokuwa na upara utegemea idadi ya testosterone iliyo mwilini ambapo ndiyo uchangia uwezo wa mwanaume kitandani.

Ukweli ni kuwa ni idadi nyingi ya homoni za testosterone ndiyo inachangia kuwa na upara!

NB.
Testosterone hormones ni homoni zinazofanya mwanaume kuwa na hamu na uwezo wa kufanya mapenzi. 

Thursday, October 6, 2016

Tahadhari Kwa Wadada Mnaopenda Kuvaa Shanga Kiunoni...


Bwana Yesu asifiwe!!!

Wanawake wengi wanapenda kuvaa shanga kiunoni wakiamini zinawavutia wanaume wengi katika mapenzi.

Napenda kutoa tahadhali kwa wanaopenda kuzivaa hasa kiunoni kuwa asilimia 80% ya shanga zinazouzwa zikiwa zimeshasokotwa zinatengenezwa na waganga WA kienyeji au watu ambao ni mawakala WA shetani na kuzinuizia mapepo kwa malengo yafuatayo:


Kuharibu au kuiba nyota za watu
Kuwafunga wanawake uzazi
Kuwaunganisha na mtandao WA kuzimu
Kuvuruga mfumo WA hedhi WA wanawake
Kuwafanya wanawake kuwa makahaba, kwa sbb unatamani kukutana na wanaume wengi ili wakujue km unavaa shanga na unazitumia
Kuwafunga kimafanikio
Kuwafanya wasidumu kwny ndoa wanapoolewa.
Kuwafanya wafikirie ngono zaidi.


Sasa unaweza usinunue kwa mganga lakn aliyetengeneza ni mganga au agent WA shetani.

Ww unaweza kununua kwa MTU na ukamwona WA kawaida, au yeye anaeuza yamkini hajui lakn alyetengeneza alikuwa na kusudi.

Unahitaji kuwa makini sana Dada zangu na vitu vinavyovaliwa sirini.

Ni unaponunua ukazikomboa kwa damu ya Yesu ili kufuta Yale maagano na manuizo yalyoambatanishwa nayo.

Nami ninazikomboa kwa mamlaka ya Jina la Yesu kwa yeyote mwenye nazo nafuta manuizo yote kwa Damu ya Yesu, km unazo TYPE AMEN.

By Illovo

Jinsi ya Kumtuliza Mumeo Asitoke Weekend

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu na mambo mengine unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..



Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi...

Monday, September 19, 2016

Mwanamke Subiri Uvuliwe, Usivue Mwenyewe

Kuna tabia fulani kwa baadhi ya wanawake mnapokua faragha kukimbilia kuvua nguo, badala ya kusubiri kuvuliwa na mpenzi wake.

Jamani zile steps za kuvuana nguo zina raha yake na msisimko wa pekee, especially kutoa jeki, kufuli na boxer.

Nashangaa mtu mko ndani dakika nyingi mtu amevua nguo amevaa taulo.

Ikishindikana basi baki ata na kufuli kushusha kufuli ishara ya ushindi hasa inapofika kwenye magoti na visigino.

Hivi Kwanini Wanawake wa Kilokole Wengi Wana Roho Mbaya?


Habarini wadau,

Hili nina ushahidi nalo, wengi wao nimegundua wana roho mbaya kwakweli na nina mifano mingi tu.

Yaani hao huwa wanaona kama watu wengine wasio walokole ni waovu tu. Niliwahi kushauriwa kuwa ni bora umuoe msichana aliyecharuka na kupitia starehe zote za dunia akatulia kuliko anayejiita mlokole namimi sasa naamini ule ushauri ni mzuri.

Naamini wapo wanawake wacha Mungu kweli ila wapo neutral kama hawa waroman catholic na walutheri na huwa hawajikuti sana na kujiona watakatifu kama walokole.

Mabinti wa kilokole mbona mpo hivyo? Au ni stresses za makanisani kwenu?

BAADA ya Kubanwa Sana Hizi Ndizo Njia Mpya za Usaliti Wazifanyayo Wanawake wa Maofisini

Huku ukijifanya kututambia " Masela " Kitaani na ukijishebedua kuwa Mkeo anayefanya Kazi katika Kampuni X huko Mjini kuwa " hakusaliti " eti kwakuwa tu asubuhi huwa unampeleka Kazini mwenyewe, mchana wakati wa Lunch huwa unampigia, mnaongea na kukuambia anakula na jioni Saa 11 au 12 huwa unampitia tena Kazini kwake na kurudi nae Kwako nadhani utakuwa unajidanganya sana na umeshaingizwa " Kingi ".

Uchunguzi wa hali ya juu sana umegundua ya kwamba 85% ya Wake / Mademu za Watu wanaofanya Kazi za Maofisini ( zile Kazi za kueleweka na siyo za kuuza matembele au maparachichi jamani ) wamebuni mbinu mpya, kali na ya kisasa kabisa ambayo kwa kiasi kikubwa mno imewasaidia kufikia malengo ya " kuchepuka ".

Mbinu hizo ni zipi?

Njia zao KUU za usaliti zipo mbili tu ambazo ni:

  1. Akishajua kuwa ana miadi na " mchepuko " wake Kesho na kama wamepanga asubuhi basi anachokifanya kwanza ni kuomba ruhusa kwa Bosi wake kuwa Kesho asubuhi atachelewa kufika Ofisini na kama alizoea kufika Saa 2 basi ataomba afike Saa 3 au Saa 4 na Bosi wake akishamkubalia tu akirudi kwa Mume / Mpenzii wake anachokifanya ni kumwambia kuwa Kesho anatakiwa kuwahi kufika Kazini hivyo badala ya kuondoka muda ule ambao wamekuwa wakitoka pamoja Saa 12 yeye sasa ataondoka kwake Saa 10 alfajiri kisha anakwenda " kubanduliwa " kisawasawa na " mchepuko " wake hadi Saa 2 asubuhi na Saa 3 anatimba zake Ofisini akiwa mwepesi na mchangamfu. ( Hii mbinu hutumiwa sana na Wanawake walioolewa au wenye Wapenzi wao ambao wanakaa mbali na mjini na kiukweli inawasaidia sana katika kuchepuka )
  2. Wanawake wengine hutumia sana ule muda wa Lunch kwenda kuchepuka na hii mbinu sasa ndiyo imekuwa habari ya mjini kwani ule muda wa Lunch wa kuanzia Saa 6:30 hadi Saa 7:30 au Saa 8:00 Wake / Mademu zenu huutumia very effectively. Hapa Mwanamke ataaga anaenda kula mahala fulani lakini wakati anaenda tayari anakuwa ameshafanya mawasiliano ya mwisho na " mchepuko " wake na ambapo hukutana na " kubanduana ". ( Hii mbinu hutumiwa sana na Wanawake ambao wana Wapenzi wenye wivu uliopitiliza dhidi yao na mara nyingi mno Watu ambao huwa wanachepuka nao huwa ni ama Mabosi zao katika hiyo hiyo Ofisi au Mfanyakazi mwenzie na hapa ngono hufanyika hata ndani ya Magari yao au Lodge ya jirani na mchepuko hununua kabisa take away ya huyu Mwanamke )

Usilolijua la ziada ni kwamba mara nyingi kwa ule muda wa alfajiri wa Saa 11 Mkeo / Demu wako akiwa anaenda kwa " mchepuko " wake hubanduliwa bao mbili ( 2 ) za fasta fasta kisha anaachiwa awahi kwenda Ofisini na kwa muda ule wa lunch time Mkeo / Demu wako akienda kwa " mchepuko " wake hubanduliwa tu bao moja ( 1 ) ila la nguvu kama siyo la uhakika kisha anaachiwa muda wa kula take away aliyonunuliwa na kurudi zake Ofisini.

Mwisho.

Wanaume na Mablaza Meni ambao huwa mnajifanya kwenda kuwapitia Wake / Mademu zenu jioni Maofisini kwao huwa mnasanifiwa sana na " wanaowabandulieni " kwani unaweza kukuta unapomfuata Mkeo / Demu wako aliyekubandulia yupo dirishani anakusanifu tu na wengine huwa mnajifanya kuwa na moyo wa msaada na kuamua kuwapa lifti Wafanyakazi wanaofanya Kazi na Mkeo / Demu wako lakini utakuta katika hao hao Wafanyakazi wenzie uliowapakia pia umembeba na Mume mwenzio na mara nyingi kwakuwa Wewe utakuwa busy unaendesha " Kagari " kako Mkeo / Demu wako anachati tu WhatsApp na " mchepuko " wake ulio siti ya nyuma huku Wakikusanifu tu.

Nimeona leo niwawekeni wazi Wanaume wenzangu hivyo ni jukumu lenu sasa " kuamka " na kuwa macho ila hili halina ubishi Wanaume wengi sana wenye Wake / Mademu zenu wanaofanya Kazi Maofisini mjini " mnachapiwa " sana na Mabosi na Masela.
 

GOSSIPS Copyright © 2016 -- Template created by Mbatta