Tuesday, October 11, 2016

VIDEO Raymond: Nyimbo ya Salome Imenipa Kiki Kubwa Sana Natafutwa Dunia Nzima Nikafanye Kolabo

Msanii Raymond amesema nyimbo ya salome aliyofanya na diamond imempa umaarufu maradufu na sasa anapigiwa simu kutoka sehemu mbalimbali duniani akiombwa afanye kolabo
aesema amepigiwa simu kutoka marekani, italia, india na kwingineko wakitaka kolabo 
 Video:

Tupe Maoni Yako Kuhusu Habari Hii

 

GOSSIPS Copyright © 2016 -- Template created by Mbatta