’Kama mtu anaukataa mkono wako na wewe kataa mkono wako kufanya mambo yake, ajifunze ajue mkono wako una thamani, haiwezekani mbele ya watu unashike mkono anakataa halafu unatoka ofisini unasema unasaini hapa hela ya huyu kwenda kutibiwa’:-JPM
Unaweza kutazama hii video hapa chini kutazama ilivyokua.
Tupe Maoni Yako Kuhusu Habari Hii
